SIMBA YAENDELEZA UBABE TAIFA - ANGA ZA KIMATAIFA

Latest

Thursday, October 20, 2016

SIMBA YAENDELEZA UBABE TAIFA



Timu ya Simba ya Dar es Salaam leo imeendeleza ubabe wake katika ligi kuu baada ya kuifunga Mbao FC ya Mwanza kwa goli 1-0.

Goli la Simba ambao walitawala mchezo huo limefungwa na Muzamiru baada ya pasi safi ya kichwa kutoka kwa Blagnon.


No comments: