UEFA: BARCELONA YAIADHIRI MAN CITY,ARSENAL, BAYERN ZAPETA. - ANGA ZA KIMATAIFA

Latest

Thursday, October 20, 2016

UEFA: BARCELONA YAIADHIRI MAN CITY,ARSENAL, BAYERN ZAPETA.

Barcelona nayo wakiwa nyumbani walimdhalilisha kocha wao wa zamani Pep Guardiola kwa kumpa kichapo cha 4-0, Messi nae akipiga hat-trick, ambapo katika mchezo huo ilishuhudiwa mlinzi wa Man city Claudio Bravo akilambwa kadi nyekundu huku pia mlinzi wa Barcelona aliyeingia akitokea benchi Jeremy Mathieu naye akizawadiwa kadi nyekundu.

Image caption
Bravo atakosa mchezo wa maruduiano Novemba 1
Makosa ya wazi ya mlinzi wa Celtic Kolo Toure yakaipa Borussia Monchengladbach ushindi wa mabao 2-0 wakiwa ugenini, magoli yakifungwa na Lars Stindl pamoja na Andre Hahn.
Image captionWachezaji wa Arsenal wakifurahia ushindi mnono

Matokeo ya michezo mingine

Bayern Munich 4-1 PSV Eindhoven
Paris Saint-Germain 3-0 Basel
Dynamo Kiev 0-2 Benfica
Napoli 2-3 Besiktas
FC Rostov 0-1 Atlético Madrid

No comments: