Ndanda
FC imekusanya pointi moja ya ugenini katika mechi ya Ligi Kuu Bara
baada ya kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting.
Ndanda FC imepata sare hiyo ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Mabatini mjini Pwani, leo.
Wageni
hao Ndanda FC, ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Athumani
Mponda lakini wenyeji wakawasawazisha kupitia kwa Abdulrahman Mussa.
CHANZO:SALEHEJEMBE
Visit:http://salehjembe.blogspot.com
No comments:
Post a Comment