MATOKEO LIGI KUU:NDANDA YAKOMAA UGENINI - ANGA ZA KIMATAIFA

Latest

Thursday, October 13, 2016

MATOKEO LIGI KUU:NDANDA YAKOMAA UGENINI


Ndanda FC imekusanya pointi moja ya ugenini katika mechi ya Ligi  Kuu Bara baada ya kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting.

Ndanda FC imepata sare hiyo ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Mabatini mjini Pwani, leo.

Wageni hao Ndanda FC, ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Athumani Mponda lakini wenyeji wakawasawazisha kupitia kwa Abdulrahman Mussa.

CHANZO:SALEHEJEMBE 
Visit:http://salehjembe.blogspot.com

No comments: