KUHUSU YANGA KUNYANG'ANYWA POINTI TATU - ANGA ZA KIMATAIFA

Latest

Friday, October 21, 2016

KUHUSU YANGA KUNYANG'ANYWA POINTI TATU

Kufuatia tetesi mitandaoni kuwa Yanga walimchezesha Hassan Kessy kimakosa kwa kuwa bado alikuwa nimchezaji wa Simba afisa habari wa TFF ametoa ufafanuzi ufuatao:

"Kuna minong'ono kuwa Yanga watakatwa pointi kwa kumchezesha Kessy hiyo habari sio kweli, Simba inadai beki huyo alivunja mkataba ila hawakuweka pingamizi kwenye usajili wake kwahiyo ni sahihi kuendelea kuwatumikia mabingwa hao huku suala lake likiendelea kushughulikiwa."

Alfred Lucas 
Afisa Habari TFF.

No comments: