HABARI KUHUSU KUPOTEA RAIS WA MALAWI - ANGA ZA KIMATAIFA

Latest

Friday, October 14, 2016

HABARI KUHUSU KUPOTEA RAIS WA MALAWI

Rais wa Malawi, Peter Mutharika, ameripotiwa alishindwa kurejea katika nchi yake tangu mwezi uliopita wakati alipoondoka kwenda New York kuhudhuria mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa.
 

Mkutano huo ulimalizika Septemba 26, 2016 lakini Mutharika hajaonekana kurudi nyumbani.


Wamalawi wameingia katika vyombo vya kijamii kumdai rais wao wakihashtag, kwa kutumia alama #bringbackmutharika.

Mutharika aliondoka kwenda Marekani Septemba 15, 2016 kuhudhuria Mkutano wa mwaka  wa Umoja wa Mataifa wa wakuu wa nchi, hata hivyo ukimya mkubwa bila taarifa rasmi kutoka serikalini umewatiahofu wamalawi wengi.


BAADHI YA HASHTAG:

pic2 


pic1pic


 

No comments: