Makao makuu ya jeshi la Marekani yanasema kuwa ndege za Syria zilikuwa zikiondoka wakati ndege za Marekani zilipowasili.
Watu katika mji wa Kaskazini Masharikia wa Syria wanasema kuwa ndege za serikali zilishambuliwa mitaa yenye wakurdi kwa muda wa siku mbili zilizopita ambapo maelfu ya watu wanaripotiwa kuyakimbia makwao.
Serikali ya Syria imekuwa ikisaidiwa kwa karibu na Iran hiuku wanamgambo wa YPG wakisaidiwa na Marekani hivyo choko choko hizo kwa wanajeshi wa Marekani zimeonekana kama kutunishiana misuli kati ya nchi hizo.
No comments:
Post a Comment