YANGA YAENDELEZA MVUA ZA USHINDI - ANGA ZA KIMATAIFA

Latest

Thursday, October 27, 2016

YANGA YAENDELEZA MVUA ZA USHINDI

Timu ya Yanga leo imeendeleza ubabe katika ligi kuu baada ya kuinyosha Ruvu JKT kwa magoli 4-0.
Magoli ya Yanga ambayo iliutawala mchezo wa leo yamefungwa na Chirwa dk.6,Tambwe 61, Msuva dk.83, Tambwe dk.89.

GOLI LA KWANZA LA YANGA:





No comments: